iqna

IQNA

mahsa amini
Njama dhidi ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema njama ya adui ya kuzua ukosefu wa utulivu nchini Iran imefeli sawa na ilivyoshindwa sera ya vikwazo vikali dhidi ya nchi hii.
Habari ID: 3476069    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/11

Khatibu wa Sala ya Ijumaa
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesisitiza kuwa: Uimwengu wa Ubeberu, Ulimwengu wa Uistikbari, Marekani, Uzayuni na kambi Ukufurushaji, zinapigana vita dhidi ya na haki na uadilifu visivyosuluhishika.
Habari ID: 3475892    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/07

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN(IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran Hujjatul Islam Sayyid Ahmad Khatami amesema kwenye khutba za Sala ya Ijumaa kwamba, kufariki dunia mwananchi yoyote Iran jambo la kusikitisha na inabidi kuipa mkono wa pole familia ya marehemu.
Habari ID: 3475826    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23